Free Mafundisho ya Yesu Mlimani


Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»):
Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli.
«Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho.
Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi».
«Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.»
Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamu…
16 pages
Free
[https://gabriele-publishing.com/[/URL]


Anuncio #48934260
Publicado: Sábado, 05 Agosto, 2023  11:39
Expira: Miércoles, 13 Noviembre, 2024  16:39
Responder a: (Usar formulario de contacto)
Introducido desde: España
(Vigile la procedencia para evitar fraudes.)
Contacte con el anunciante:

Código de seguridad: *
Escribe el código que
← aquí leas en el campo de la derecha →

Copyright © 2007-2024 Vender Ya!. Todos los derechos reservados.